1. 1

    Rayvanny - Mi Amor

  2. 2

    Rayvanny - Number One (part. Zuchu)

  3. 3

    Rayvanny - I Miss You (feat. Zuchu)

  4. 4

    Rayvanny - I Love You

  5. 5

    Rayvanny - Forever

  6. 6

    Rayvanny - Bailando

  7. 7

    Rayvanny - Ex-Boyfriend

  8. 8

    Rayvanny - Mama Tetema (feat. Maluma)

  9. 9

    Rayvanny - Mwambieni (feat. Macvoice)

  10. 10

    Rayvanny - Mwanza (feat. Diamond Platnumz)

  11. 11

    Rayvanny - Sweet (feat. Guchi)

  12. 12

    Rayvanny - Teamo (feat. Messias Maricoa)

  13. 13

    Rayvanny - Tetema (feat. Diamond Platnumz)

  14. 14

    Rayvanny - Amaboko (feat. Diamond Platnumz)

  15. 15

    Rayvanny - Happy Birthday

  16. 16

    Rayvanny - Jennifer

  17. 17

    Rayvanny - Naogopa

  18. 18

    Rayvanny - Te Quiero

  19. 19

    Rayvanny - Baby (feat. Rowlene)

  20. 20

    Rayvanny - Bora Peke Yangu (feat. Macvoice)

  21. 21

    Rayvanny - CCM Tetema

  22. 22

    Rayvanny - CCM Wayaaa!

  23. 23

    Rayvanny - Chombo

  24. 24

    Rayvanny - Chuchumaa

  25. 25

    Rayvanny - Corona

  26. 26

    Rayvanny - GimiDat (feat. Mayorkun)

  27. 27

    Rayvanny - Girlfriend (feat. Rowlene)

  28. 28

    Rayvanny - Huu Mwaka

  29. 29

    Rayvanny - Kelebe (feat. Innoss'B)

  30. 30

    Rayvanny - Kiuno

  31. 31

    Rayvanny - KWETU

  32. 32

    Rayvanny - Love Nwantiti (Acoustic)

  33. 33

    Rayvanny - Magufuli Jembe

  34. 34

    Rayvanny - Makulusa (feat. Maphorisa, DJ Buckz)

  35. 35

    Rayvanny - Mama (feat. Saida Karoli)

  36. 36

    Rayvanny - Mama la Mama

  37. 37

    Rayvanny - Mbeleko

  38. 38

    Rayvanny - Miss Buza (feat. Dulla Makabila)

  39. 39

    Rayvanny - Natafuta Kiki

  40. 40

    Rayvanny - Ngongingo (feat. Baba Levo)

  41. 41

    Rayvanny - Nitongoze (feat. Diamond Platnumz)

  42. 42

    Rayvanny - Oh Mama! TETEMA (feat. Shreya Ghoshal, Nora Fatehi & Vishal Mishra)

  43. 43

    Rayvanny - One

  44. 44

    Rayvanny - Pakua (feat. Mbosso)

  45. 45

    Rayvanny - Pele Pele (feat. Luana Vjollca)

  46. 46

    Rayvanny - Pepeta (feat. Nora Fatehi)

  47. 47

    Rayvanny - Pochi Nene (feat. S2Kizzy)

  48. 48

    Rayvanny - Pombe (feat. Macvoice & Leon Lee)

  49. 49

    Rayvanny - Quarantine (feat. WCB Wasafi, Zuchu, Queen Darleen, Lava Lava, Mbosso & Diamond Platnumz)

  50. 50

    Rayvanny - Safari (feat. Saida Karoli)

  51. 51

    Rayvanny - Shikwambi

  52. 52

    Rayvanny - Sikupendi

  53. 53

    Rayvanny - Siri (feat. Nikk Wa Pili)

  54. 54

    Rayvanny - Slow (feat. Phyno)

  55. 55

    Rayvanny - Sugu

  56. 56

    Rayvanny - Sweet Melody

  57. 57

    Rayvanny - Tamu (feat. Macvoice)

  58. 58

    Rayvanny - Tetema (remix II) (feat. Patoranking, Zlatan & Diamond Platnumz)

  59. 59

    Rayvanny - Tetema Remix (feat. Pitbull, Mohombi, Jeon, Diamond Platnumz)

  60. 60

    Rayvanny - Tip Toe (remix) (feat. Jason Derulo)

  61. 61

    Rayvanny - Tunawabuluza

  62. 62

    Rayvanny - Unaibiwa

  63. 63

    Rayvanny - Vumbi (feat. Diamond Platnumz)

  64. 64

    Rayvanny - Vumilia

  65. 65

    Rayvanny - Wanaweweseka

  66. 66

    Rayvanny - Woza (feat. Diamond Platnumz)

  67. 67

    Rayvanny - ZEZETA

  68. 68

    Rayvanny - Zilipendwa (feat. Diamond Platnumz, Queen Darleen, Rich Mavoko, Lava Lava, Mbosso & Harmonize)

  69. 69

    Rayvanny - Zipo (feat. Busiswa, Baba Levo)

  70. 70

    Rayvanny - Zuena (feat. Mbosso & Weasel)

Baby (feat. Rowlene)

Rayvanny

Mwanzo nilijua upo msalani
Kama sio uko utakuwa nyumba ya jirani
Nikapiga simu yako haipatikani
Ndio unapokea sa' hivi mummy
Upo sehemu gani

Hata kama sijajibu naomba Samahani
Ile njaa ya tumboni imepanda mpaka kichwani
Sijakuaga ila jua ndio nipo njiani
Ningependa niwe na wewe, ila uko utumwani
Ningependa niwe na wewe, ila uko utumwani

Inamaana umechoka sa mbona ni mapema
Hizo shida zimechosha ntazeeka mapema

Ni kweli ndani kuna masufuria
Chakula hakuna, nini nitakupikia
Na Kama tukipika basi bamia
Kutwa nzima na njaa kama ngamia

Nguzo ya upendo kusubiria
Kwa nini unashindwa nivumilia
Na mimi mbona ninakupigania
Mummy rudi nyumbani, Mola atajalia

Aah siwezi, kwa nini?
Sirudi, sababu gani?
Siwezi, aah
Sirudi

Nguo zangu zilivyochoka kama tambala ya deki
Zimetoboka unaweza kusema net
Huishi madeni, dukani kwa mangi mpaka bank
Na ukirudi nyumbani, mfukoni huna cent

Anapanga mola, kupata kukosa ridhiki
Akinipa nashukuru na kama nikikosa sibishi
Kwenye swala la mapenzi, mali si kitu iyoo
Kwenye mapenzi, moyo kioa kitu iyoo

Inamaana umechoka sa mbona ni mapema
Hizo shida zimechosha ntazeeka mapema

Ni kweli ndani kuna masufuria
Chakula hakuna, nini nitakupikia
Na Kama tukipika basi bamia
Kutwa nzima na njaa kama ngamia

Nguzo ya upendo kusubiria
Kwa nini unashindwa nivumilia
Na mimi mbona ninakupigania
Mummy rudi nyumbani, Mola atajalia

Aah siwezi, kwa nini?
Sirudi, sababu gani?
Siwezi, aah
Sirudi

Playlists relacionadas Ver mais playlists

Momentos

O melhor de 3 artistas combinados