1. 1

    Rayvanny - Mi Amor

  2. 2

    Rayvanny - Number One (part. Zuchu)

  3. 3

    Rayvanny - I Miss You (feat. Zuchu)

  4. 4

    Rayvanny - Forever

  5. 5

    Rayvanny - Ex-Boyfriend

  6. 6

    Rayvanny - Bailando

  7. 7

    Rayvanny - I Love You

  8. 8

    Rayvanny - KWETU

  9. 9

    Rayvanny - Mwambieni (feat. Macvoice)

  10. 10

    Rayvanny - Sweet (feat. Guchi)

  11. 11

    Rayvanny - Te Quiero

  12. 12

    Rayvanny - Teamo (feat. Messias Maricoa)

  13. 13

    Rayvanny - Tetema (feat. Diamond Platnumz)

  14. 14

    Rayvanny - ZEZETA

  15. 15

    Rayvanny - Amaboko (feat. Diamond Platnumz)

  16. 16

    Rayvanny - Happy Birthday

  17. 17

    Rayvanny - Jennifer

  18. 18

    Rayvanny - Kiuno

  19. 19

    Rayvanny - Mbeleko

  20. 20

    Rayvanny - Mwanza (feat. Diamond Platnumz)

  21. 21

    Rayvanny - Naogopa

  22. 22

    Rayvanny - Slow (feat. Phyno)

  23. 23

    Rayvanny - Tetema Remix (feat. Pitbull, Mohombi, Jeon, Diamond Platnumz)

  24. 24

    Rayvanny - Unaibiwa

  25. 25

    Rayvanny - Vumilia

  26. 26

    Rayvanny - Wanaweweseka

  27. 27

    Rayvanny - Baby (feat. Rowlene)

  28. 28

    Rayvanny - Bora Peke Yangu (feat. Macvoice)

  29. 29

    Rayvanny - CCM Tetema

  30. 30

    Rayvanny - CCM Wayaaa!

  31. 31

    Rayvanny - Chombo

  32. 32

    Rayvanny - Chuchumaa

  33. 33

    Rayvanny - Corona

  34. 34

    Rayvanny - GimiDat (feat. Mayorkun)

  35. 35

    Rayvanny - Girlfriend (feat. Rowlene)

  36. 36

    Rayvanny - Huu Mwaka

  37. 37

    Rayvanny - Kelebe (feat. Innoss'B)

  38. 38

    Rayvanny - Love Nwantiti (Acoustic)

  39. 39

    Rayvanny - Magufuli Jembe

  40. 40

    Rayvanny - Makulusa (feat. Maphorisa, DJ Buckz)

  41. 41

    Rayvanny - Mama (feat. Saida Karoli)

  42. 42

    Rayvanny - Mama la Mama

  43. 43

    Rayvanny - Mama Tetema (feat. Maluma)

  44. 44

    Rayvanny - Miss Buza (feat. Dulla Makabila)

  45. 45

    Rayvanny - Natafuta Kiki

  46. 46

    Rayvanny - Ngongingo (feat. Baba Levo)

  47. 47

    Rayvanny - Nitongoze (feat. Diamond Platnumz)

  48. 48

    Rayvanny - Oh Mama! TETEMA (feat. Shreya Ghoshal, Nora Fatehi & Vishal Mishra)

  49. 49

    Rayvanny - One

  50. 50

    Rayvanny - Pakua (feat. Mbosso)

  51. 51

    Rayvanny - Pele Pele (feat. Luana Vjollca)

  52. 52

    Rayvanny - Pepeta (feat. Nora Fatehi)

  53. 53

    Rayvanny - Pochi Nene (feat. S2Kizzy)

  54. 54

    Rayvanny - Pombe (feat. Macvoice & Leon Lee)

  55. 55

    Rayvanny - Quarantine (feat. WCB Wasafi, Zuchu, Queen Darleen, Lava Lava, Mbosso & Diamond Platnumz)

  56. 56

    Rayvanny - Safari (feat. Saida Karoli)

  57. 57

    Rayvanny - Shikwambi

  58. 58

    Rayvanny - Sikupendi

  59. 59

    Rayvanny - Siri (feat. Nikk Wa Pili)

  60. 60

    Rayvanny - Sugu

  61. 61

    Rayvanny - Sweet Melody

  62. 62

    Rayvanny - Tamu (feat. Macvoice)

  63. 63

    Rayvanny - Tetema (remix II) (feat. Patoranking, Zlatan & Diamond Platnumz)

  64. 64

    Rayvanny - Tip Toe (remix) (feat. Jason Derulo)

  65. 65

    Rayvanny - Tunawabuluza

  66. 66

    Rayvanny - Vumbi (feat. Diamond Platnumz)

  67. 67

    Rayvanny - Woza (feat. Diamond Platnumz)

  68. 68

    Rayvanny - Zilipendwa (feat. Diamond Platnumz, Queen Darleen, Rich Mavoko, Lava Lava, Mbosso & Harmonize)

  69. 69

    Rayvanny - Zipo (feat. Busiswa, Baba Levo)

  70. 70

    Rayvanny - Zuena (feat. Mbosso & Weasel)

Bora Peke Yangu (feat. Macvoice)

Rayvanny

(Eyoo Trone)
Heshima na upole wako
Ndivo vikanivuta kwako oh oh
Tabia na mwenendo wako oh
Vikanifanya nikupende eh eh

Kumbe mapenzi ni nyakati yanachanganya
Yakipoteza ramani wewe
Kitabu cha upendo wa dhati umechanachana
Haupo kama zamani wewe

Ngoma ikivuma mwisho wake hupasuka
Yote ya nini tuje kushikiana chupa
Wewe ukipanda kila muda mi nashuka
Oh ooh oh, oh oh oh

Message za watu wako na simu zako
Naona ila namezea tu
Najua machafu yako mabaya yako
Yanachoma mi napotea tu

Kugombana mi siwezi
Nikwambie yote sababu ya mapenzi
Tena narudisha jezi nitulie
Ligi ya mapenzi siwezi

Kwako wewe, bora peke yangu
Nibaki pekе yangu
Bora peke yangu
Niishi maisha yangu

Bora pekе yangu
Nibaki peke yangu
Bora peke yangu
Niishi maisha yangu

Uliweka pamba masikioni
Husikii huoni ninavyoumia moyoni
Purukushani asubuhi jioni
Matusi mdomoni hata aibu huoni

Ukadanganya unaenda sokoni
Kumbe yuko mgongoni kitandani ukingoni
Una wapenzi wengine kinondoni
Hadi Kigamboni na Kariakor shimoni

Ah wee, kumbe ni mnyama uloficha makucha
Hata sura yako inakusuta
Nyama ndani ngano nnje kama sambusa
Barafu wa moyo umeyeyuka
(Oh wo wo wo wo, oh wo wo wo wo)

Hukunipenda, pengine nilikulazimisha
Sawa nakwenda, japo sina wa kuninyamazisha
Huna makosa najilaumu nini?
Nilikupenda kwa nini?

Ona kugombana mi siwezi
Nikwambie eti sababu ya mapenzi
Tena narudisha jezi nitulie
Ligi ya mapenzi siwezi

Kwako wewe, bora peke yangu
Nibaki peke yangu
Bora peke yangu
Niishi maisha yangu

Bora peke yangu
Nibaki peke yangu
Bora peke yangu
Niishi maisha yangu

(Nusder)

Playlists relacionadas Ver mais playlists

Momentos

O melhor de 3 artistas combinados