1. 1

    Rayvanny - Mi Amor

  2. 2

    Rayvanny - I Miss You (feat. Zuchu)

  3. 3

    Rayvanny - Number One (part. Zuchu)

  4. 4

    Rayvanny - Ex-Boyfriend

  5. 5

    Rayvanny - KWETU

  6. 6

    Rayvanny - Sweet (feat. Guchi)

  7. 7

    Rayvanny - Bailando

  8. 8

    Rayvanny - Forever

  9. 9

    Rayvanny - I Love You

  10. 10

    Rayvanny - Slow (feat. Phyno)

  11. 11

    Rayvanny - Tetema (feat. Diamond Platnumz)

  12. 12

    Rayvanny - Huu Mwaka

  13. 13

    Rayvanny - Tamu (feat. Macvoice)

  14. 14

    Rayvanny - Vumilia

  15. 15

    Rayvanny - Zuena (feat. Mbosso & Weasel)

  16. 16

    Rayvanny - Bora Peke Yangu (feat. Macvoice)

  17. 17

    Rayvanny - Jennifer

  18. 18

    Rayvanny - Mbeleko

  19. 19

    Rayvanny - Mwambieni (feat. Macvoice)

  20. 20

    Rayvanny - Pakua (feat. Mbosso)

  21. 21

    Rayvanny - Pepeta (feat. Nora Fatehi)

  22. 22

    Rayvanny - Pombe (feat. Macvoice & Leon Lee)

  23. 23

    Rayvanny - Quarantine (feat. WCB Wasafi, Zuchu, Queen Darleen, Lava Lava, Mbosso & Diamond Platnumz)

  24. 24

    Rayvanny - Te Quiero

  25. 25

    Rayvanny - ZEZETA

  26. 26

    Rayvanny - Zilipendwa (feat. Diamond Platnumz, Queen Darleen, Rich Mavoko, Lava Lava, Mbosso & Harmonize)

ZEZETA

Rayvanny

Baby mooh
Nifanye Big G unitafune
Ama niwe sindano
Nawe uwe uzi nguo nifume

Amaniwe ndoo
Uwe maji yangu na wanune
Nifanye kucha
Kama ukiwashwa mi nikukune

Sema mama
Niweduka la vipodozi
Nikuvutie kwa kila kitu
Chumbani uwe simu
Unalia hata nikiku beep

Nisimame kama kinyozi
Nikikunyoa unanisifu
Niwe godoro na shuka
Nilale na wewe kila usiku

Shika funguo gari ya bosi wangu
Kwako zezeta zezeta
Niko radhi nifunge ule wewe
Mimi zezeta zezeta

Au unataka hata nyumba ya baba yangu
Kwako zezeta zezeta
Kifaranga nibebe kama mwewe
Mimi zezeta zezeta

Mama, sitaki paka na panya
Vita za nini
Mi nataka niwe mafuta
Ujipakaze kote mwilini eeh

Ama, niwe taulo kanga laini
Ukioga ninakufata
Kutoka juu mpaka kwa chini

Maashallah
Ulivyo mwenzako taabani
Naeshimu chumba
Siendi varandani

Tena, sikufanyi vocha
Soko dukani
Nikutumbie mchumba
Nikutupe jalalani

Sema mama
Niwe duka la vipodozi
Nikuvutie kwa kila kitu
Chumbani uwe simu
Unalia hata niku-beep

Nisimame kama kinyozi
Nikikunyoa unanisifu
Niwe godoro na shuka
Nilale nawe kila usiku

Shika funguo gari ya bosi wangu
Kwako zezeta zezeta
Niko radhi nifunge ule wewe
Mimi zezeta zezeta

Au unataka hata nyumba ya baba yangu
Kwako zezeta zezeta
Kifaranga nibebe kama mwewe
Mimi zezeta zezeta

Shika funguo gari ya bosi wangu
Kwako zezeta zezeta
Niko radhi nifunge ule wewe
Mimi zezeta zezeta

Au unataka hata nyumba ya baba yangu
Kwako zezeta zezeta
Kifaranga nibebe kama mwewe
Mimi zezeta zezeta

Mashilawadu wanyapia nyapia
Mashilawadu wananyatia nyatia
Mashilawadu wapate kutangazia
Mashilawadu kuwa makini mama

Mashilawadu wakudandia dandia
Mashilawadu vya watu kupakazia
Mashilawadu macho funika pazia
Mashilawadu kuws makini mama eeh, eeh

Playlists relacionadas Ver mais playlists

Momentos

O melhor de 3 artistas combinados