1. 1

    Rayvanny - Mi Amor

  2. 2

    Rayvanny - Number One (part. Zuchu)

  3. 3

    Rayvanny - I Miss You (feat. Zuchu)

  4. 4

    Rayvanny - I Love You

  5. 5

    Rayvanny - Forever

  6. 6

    Rayvanny - Bailando

  7. 7

    Rayvanny - Ex-Boyfriend

  8. 8

    Rayvanny - Mama Tetema (feat. Maluma)

  9. 9

    Rayvanny - Mwambieni (feat. Macvoice)

  10. 10

    Rayvanny - Mwanza (feat. Diamond Platnumz)

  11. 11

    Rayvanny - Sweet (feat. Guchi)

  12. 12

    Rayvanny - Teamo (feat. Messias Maricoa)

  13. 13

    Rayvanny - Tetema (feat. Diamond Platnumz)

  14. 14

    Rayvanny - Amaboko (feat. Diamond Platnumz)

  15. 15

    Rayvanny - Happy Birthday

  16. 16

    Rayvanny - Jennifer

  17. 17

    Rayvanny - Naogopa

  18. 18

    Rayvanny - Te Quiero

  19. 19

    Rayvanny - Baby (feat. Rowlene)

  20. 20

    Rayvanny - Bora Peke Yangu (feat. Macvoice)

  21. 21

    Rayvanny - CCM Tetema

  22. 22

    Rayvanny - CCM Wayaaa!

  23. 23

    Rayvanny - Chombo

  24. 24

    Rayvanny - Chuchumaa

  25. 25

    Rayvanny - Corona

  26. 26

    Rayvanny - GimiDat (feat. Mayorkun)

  27. 27

    Rayvanny - Girlfriend (feat. Rowlene)

  28. 28

    Rayvanny - Huu Mwaka

  29. 29

    Rayvanny - Kelebe (feat. Innoss'B)

  30. 30

    Rayvanny - Kiuno

  31. 31

    Rayvanny - KWETU

  32. 32

    Rayvanny - Love Nwantiti (Acoustic)

  33. 33

    Rayvanny - Magufuli Jembe

  34. 34

    Rayvanny - Makulusa (feat. Maphorisa, DJ Buckz)

  35. 35

    Rayvanny - Mama (feat. Saida Karoli)

  36. 36

    Rayvanny - Mama la Mama

  37. 37

    Rayvanny - Mbeleko

  38. 38

    Rayvanny - Miss Buza (feat. Dulla Makabila)

  39. 39

    Rayvanny - Natafuta Kiki

  40. 40

    Rayvanny - Ngongingo (feat. Baba Levo)

  41. 41

    Rayvanny - Nitongoze (feat. Diamond Platnumz)

  42. 42

    Rayvanny - Oh Mama! TETEMA (feat. Shreya Ghoshal, Nora Fatehi & Vishal Mishra)

  43. 43

    Rayvanny - One

  44. 44

    Rayvanny - Pakua (feat. Mbosso)

  45. 45

    Rayvanny - Pele Pele (feat. Luana Vjollca)

  46. 46

    Rayvanny - Pepeta (feat. Nora Fatehi)

  47. 47

    Rayvanny - Pochi Nene (feat. S2Kizzy)

  48. 48

    Rayvanny - Pombe (feat. Macvoice & Leon Lee)

  49. 49

    Rayvanny - Quarantine (feat. WCB Wasafi, Zuchu, Queen Darleen, Lava Lava, Mbosso & Diamond Platnumz)

  50. 50

    Rayvanny - Safari (feat. Saida Karoli)

  51. 51

    Rayvanny - Shikwambi

  52. 52

    Rayvanny - Sikupendi

  53. 53

    Rayvanny - Siri (feat. Nikk Wa Pili)

  54. 54

    Rayvanny - Slow (feat. Phyno)

  55. 55

    Rayvanny - Sugu

  56. 56

    Rayvanny - Sweet Melody

  57. 57

    Rayvanny - Tamu (feat. Macvoice)

  58. 58

    Rayvanny - Tetema (remix II) (feat. Patoranking, Zlatan & Diamond Platnumz)

  59. 59

    Rayvanny - Tetema Remix (feat. Pitbull, Mohombi, Jeon, Diamond Platnumz)

  60. 60

    Rayvanny - Tip Toe (remix) (feat. Jason Derulo)

  61. 61

    Rayvanny - Tunawabuluza

  62. 62

    Rayvanny - Unaibiwa

  63. 63

    Rayvanny - Vumbi (feat. Diamond Platnumz)

  64. 64

    Rayvanny - Vumilia

  65. 65

    Rayvanny - Wanaweweseka

  66. 66

    Rayvanny - Woza (feat. Diamond Platnumz)

  67. 67

    Rayvanny - ZEZETA

  68. 68

    Rayvanny - Zilipendwa (feat. Diamond Platnumz, Queen Darleen, Rich Mavoko, Lava Lava, Mbosso & Harmonize)

  69. 69

    Rayvanny - Zipo (feat. Busiswa, Baba Levo)

  70. 70

    Rayvanny - Zuena (feat. Mbosso & Weasel)

ZEZETA

Rayvanny

Baby mooh
Nifanye Big G unitafune
Ama niwe sindano
Nawe uwe uzi nguo nifume

Amaniwe ndoo
Uwe maji yangu na wanune
Nifanye kucha
Kama ukiwashwa mi nikukune

Sema mama
Niweduka la vipodozi
Nikuvutie kwa kila kitu
Chumbani uwe simu
Unalia hata nikiku beep

Nisimame kama kinyozi
Nikikunyoa unanisifu
Niwe godoro na shuka
Nilale na wewe kila usiku

Shika funguo gari ya bosi wangu
Kwako zezeta zezeta
Niko radhi nifunge ule wewe
Mimi zezeta zezeta

Au unataka hata nyumba ya baba yangu
Kwako zezeta zezeta
Kifaranga nibebe kama mwewe
Mimi zezeta zezeta

Mama, sitaki paka na panya
Vita za nini
Mi nataka niwe mafuta
Ujipakaze kote mwilini eeh

Ama, niwe taulo kanga laini
Ukioga ninakufata
Kutoka juu mpaka kwa chini

Maashallah
Ulivyo mwenzako taabani
Naeshimu chumba
Siendi varandani

Tena, sikufanyi vocha
Soko dukani
Nikutumbie mchumba
Nikutupe jalalani

Sema mama
Niwe duka la vipodozi
Nikuvutie kwa kila kitu
Chumbani uwe simu
Unalia hata niku-beep

Nisimame kama kinyozi
Nikikunyoa unanisifu
Niwe godoro na shuka
Nilale nawe kila usiku

Shika funguo gari ya bosi wangu
Kwako zezeta zezeta
Niko radhi nifunge ule wewe
Mimi zezeta zezeta

Au unataka hata nyumba ya baba yangu
Kwako zezeta zezeta
Kifaranga nibebe kama mwewe
Mimi zezeta zezeta

Shika funguo gari ya bosi wangu
Kwako zezeta zezeta
Niko radhi nifunge ule wewe
Mimi zezeta zezeta

Au unataka hata nyumba ya baba yangu
Kwako zezeta zezeta
Kifaranga nibebe kama mwewe
Mimi zezeta zezeta

Mashilawadu wanyapia nyapia
Mashilawadu wananyatia nyatia
Mashilawadu wapate kutangazia
Mashilawadu kuwa makini mama

Mashilawadu wakudandia dandia
Mashilawadu vya watu kupakazia
Mashilawadu macho funika pazia
Mashilawadu kuws makini mama eeh, eeh

Playlists relacionadas Ver mais playlists

Momentos

O melhor de 3 artistas combinados