1. 1

    Zuchu - Sukari

  2. 2

    Zuchu - Kwikwi

  3. 3

    Zuchu - WaleWale (feat. Diamond Platnumz)

  4. 4

    Zuchu - Honey

  5. 5

    Zuchu - Chapati

  6. 6

    Zuchu - Naringa

  7. 7

    Zuchu - Antenna

  8. 8

    Zuchu - Love (feat. Adekunle Gold)

  9. 9

    Zuchu - Nyumba Ndogo

  10. 10

    Zuchu - Zawadi (feat. Dadiposlim)

  11. 11

    Zuchu - Litawachoma (feat. Diamond Platnumz)

  12. 12

    Zuchu - Utaniua

  13. 13

    Zuchu - Attention (feat. Whozu)

  14. 14

    Zuchu - For Your Love (feat. Mbosso)

  15. 15

    Zuchu - Hujanizidi (feat. D Voice)

  16. 16

    Zuchu - I Miss You (feat. Rayvanny)

  17. 17

    Zuchu - Nani

  18. 18

    Zuchu - Nani (feat. D Voice)

  19. 19

    Zuchu - Nimezama (feat. D Voice)

  20. 20

    Zuchu - Nisamehe

  21. 21

    Zuchu - Number One (feat. Rayvanny)

  22. 22

    Zuchu - Raha

  23. 23

    Zuchu - Wana

  24. 24

    Zuchu - Ashua (feat. Mbosso)

  25. 25

    Zuchu - BamBam (feat. D Voice)

  26. 26

    Zuchu - Cheche (feat. Diamond Platnumz)

  27. 27

    Zuchu - Hakuna Kulala

  28. 28

    Zuchu - Hasara

  29. 29

    Zuchu - Jaro

  30. 30

    Zuchu - Kwaru

  31. 31

    Zuchu - Mauzauza (feat. Khadija Kopa)

  32. 32

    Zuchu - Mtasubiri (feat. Diamond Platnumz)

  33. 33

    Zuchu - Nani (remix) (feat. Innoss'B)

  34. 34

    Zuchu - Napambana

  35. 35

    Zuchu - Nobody (feat. Joeboy)

  36. 36

    Zuchu - Quarantine (feat. WCB Wasafi, Queen Darleen, Lava Lava, Mbosso, Rayvanny & Diamond Platnumz)

  37. 37

    Zuchu - Shika

  38. 38

    Zuchu - Tanzania Ya Sasa

  39. 39

    Zuchu - Yalaaaa

Kwaru

Zuchu

Iyoo lizer
Aah ah aah

Ah
Roho ingekua na macho ungejionea
Moyo haufanyi kificho ukigotea
Mimi kipi nisonacho ungeongea
Mwili wangu rochorocho nanyong’onyea
Chungu nilichopika
Wamepakua wenzangu
Huruma napukutishwa
Wamechukua tonge langu
Na kitabu chetu cha mapenzi
Kurasa umeichanachana
Hazisomeki tena tenzi
Zimepoteza maana

Mpofu moyo wangu
Ulishindwa ona
Hukuandikwa wakwangu
Limenikaba nalitema

Kwaru kwakwaru kwaru
Kachukua kisoda Ana ukwangua
Kwaru kwakwaru kwaru
Moyo wangu unaumia
Kwaru kwakwaru kwaru
Ah! Ye kwa nguvu Ana ukwarua
Kwaru kwakwaru kwaru
Jamani moyo wangu
Unaumia

Eh
Langu tatizo
Nachunda najimaliza
Mi nakesha kumuwaza
Naweweseka lake jina (ooh jina)
Oh! Basi kwa unyonge
Najikaza niache kulia
Mana kwake bahati sina (ooh sina)
Maumivu ameipora furaha yangu
Ooh amekwenda nayo
Na zangu mbivu zimeniozea
Mmh hasara kwangu
Ooh oh! Yatajwisha nayoo

Mpofu moyo wangu
Ulishindwa ona
Hukuandikwa wakwangu
Limenikaba nalitema

Kwaru kwakwaru kwaru
Kachukua kisoda Ana ukwangua
Kwaru kwakwaru kwaru
Moyo wangu unaumia
Kwaru kwakwaru kwaru
Ah! Ye kwa nguvu Ana ukwarua
Kwaru kwakwaru kwaru
Jamani moyo wangu
Unaumia

Playlists relacionadas Ver mais playlists

Momentos

O melhor de 3 artistas combinados