1. 1

    Zuchu - Sukari

  2. 2

    Zuchu - Kwikwi

  3. 3

    Zuchu - WaleWale (feat. Diamond Platnumz)

  4. 4

    Zuchu - Honey

  5. 5

    Zuchu - Chapati

  6. 6

    Zuchu - Naringa

  7. 7

    Zuchu - Antenna

  8. 8

    Zuchu - Love (feat. Adekunle Gold)

  9. 9

    Zuchu - Nyumba Ndogo

  10. 10

    Zuchu - Zawadi (feat. Dadiposlim)

  11. 11

    Zuchu - Litawachoma (feat. Diamond Platnumz)

  12. 12

    Zuchu - Utaniua

  13. 13

    Zuchu - Attention (feat. Whozu)

  14. 14

    Zuchu - For Your Love (feat. Mbosso)

  15. 15

    Zuchu - Hujanizidi (feat. D Voice)

  16. 16

    Zuchu - I Miss You (feat. Rayvanny)

  17. 17

    Zuchu - Nani

  18. 18

    Zuchu - Nani (feat. D Voice)

  19. 19

    Zuchu - Nimezama (feat. D Voice)

  20. 20

    Zuchu - Nisamehe

  21. 21

    Zuchu - Number One (feat. Rayvanny)

  22. 22

    Zuchu - Raha

  23. 23

    Zuchu - Wana

  24. 24

    Zuchu - Ashua (feat. Mbosso)

  25. 25

    Zuchu - BamBam (feat. D Voice)

  26. 26

    Zuchu - Cheche (feat. Diamond Platnumz)

  27. 27

    Zuchu - Hakuna Kulala

  28. 28

    Zuchu - Hasara

  29. 29

    Zuchu - Jaro

  30. 30

    Zuchu - Kwaru

  31. 31

    Zuchu - Mauzauza (feat. Khadija Kopa)

  32. 32

    Zuchu - Mtasubiri (feat. Diamond Platnumz)

  33. 33

    Zuchu - Nani (remix) (feat. Innoss'B)

  34. 34

    Zuchu - Napambana

  35. 35

    Zuchu - Nobody (feat. Joeboy)

  36. 36

    Zuchu - Quarantine (feat. WCB Wasafi, Queen Darleen, Lava Lava, Mbosso, Rayvanny & Diamond Platnumz)

  37. 37

    Zuchu - Shika

  38. 38

    Zuchu - Tanzania Ya Sasa

  39. 39

    Zuchu - Yalaaaa

Mtasubiri (feat. Diamond Platnumz)

Zuchu

Eti amina, dua zimeitikiwa
Ashtuti nije kupa mali yako
Ooh fanya hima, mwenzako nimezidiwa
Mahututi nasubiri tiba yako
Na nisipo kuona, na raha nakosa
Situlii mpaka unikumbate darling
Ooh kiranga chote mi koma, ukianza dear
Shughuri kwisha yangu habari

Eti unanipenda mi (mnh)
Unanitaka pia (mnh)
Unaniamini (mnh)
Na umeniridhia
Oh unanipenda mimi (mnh)
Unanitaka pia (mnh)
Unaniamini (mnh)
Na umeniridhia

Mtasubiri sana, mtasubiri (oh mtangoja)
Mtasubiri sana, mtasubiri
Wanasubiri tuachane
Mtasubiri sana mtasubiri (oh, vuten kiti mkae)
Mtasubiri sana, mtasubiri

Oh baby mi mwenzako njiwa wakufugwa
Oh baby vya chakuchaku vitanifuja
Oh baby mie wa pwani mzawa wa unguja
Oh baby penzi laini sitoi buja
Na moyo nishaweka kwako nanga
Wanajisumbua kukesha kwa waganga
Na presha zitaqwashuka na kupanda
Tena deka we shaukwa baby tamba

Eti unanipenda mi (mnh)
Unanitaka pia (mmh)
Unaniamini (mmh)
Na umeniridhia
Unanipenda mimi (mnh)
Unanitaka pia (mnh)
Unaniamini (mnh)
Na umeniridhia

Mtasubiri sana, mtasubiri (oh mtangoja)
Mtasubiri sana, mtasubiri (oh)
Wanasubiri tuachane
Mtasubiri sana mtasubiri
Mtasubiri sana, mtasubiri

Wanasema eti umeniroga
Ni kweli ila inawahusu nini
Hunipendi ila unanichuna
Ni kweli ila inawahusu nini
Eti wanasema wewe ni kicheche
Ni kweli ila inawahusu nini
Utanichezea kеsho uniache
Ni kweli ila inawahusu nini

Playlists relacionadas Ver mais playlists

Momentos

O melhor de 3 artistas combinados