1. 1

    Zuchu - Sukari

  2. 2

    Zuchu - Honey

  3. 3

    Zuchu - Kwikwi

  4. 4

    Zuchu - WaleWale (feat. Diamond Platnumz)

  5. 5

    Zuchu - Chapati

  6. 6

    Zuchu - Love (feat. Adekunle Gold)

  7. 7

    Zuchu - Antenna

  8. 8

    Zuchu - Cheche (feat. Diamond Platnumz)

  9. 9

    Zuchu - I Miss You (feat. Rayvanny)

  10. 10

    Zuchu - Inama

  11. 11

    Zuchu - Mauzauza (feat. Khadija Kopa)

  12. 12

    Zuchu - Yalaaaa

  13. 13

    Zuchu - Attention (feat. Whozu)

  14. 14

    Zuchu - BamBam (feat. D Voice)

  15. 15

    Zuchu - Litawachoma (feat. Diamond Platnumz)

  16. 16

    Zuchu - Lollipop (feat. Yemi Alade)

  17. 17

    Zuchu - Nani (feat. D Voice)

  18. 18

    Zuchu - Naringa

  19. 19

    Zuchu - Number One (feat. Rayvanny)

  20. 20

    Zuchu - Raha

  21. 21

    Zuchu - Sere (feat. Olakira)

  22. 22

    Zuchu - Ashua (feat. Mbosso)

  23. 23

    Zuchu - Fire

  24. 24

    Zuchu - For Your Love (feat. Mbosso)

  25. 25

    Zuchu - Hakuna Kulala

  26. 26

    Zuchu - Hasara

  27. 27

    Zuchu - Hujanizidi (feat. D Voice)

  28. 28

    Zuchu - Jaro

  29. 29

    Zuchu - Kazi Iendelee

  30. 30

    Zuchu - Kitu

  31. 31

    Zuchu - Kwaru

  32. 32

    Zuchu - Mtasubiri (feat. Diamond Platnumz)

  33. 33

    Zuchu - Mwambieni

  34. 34

    Zuchu - Nani

  35. 35

    Zuchu - Nani (remix) (feat. Innoss'B)

  36. 36

    Zuchu - Napambana

  37. 37

    Zuchu - Nimezama (feat. D Voice)

  38. 38

    Zuchu - Nisamehe

  39. 39

    Zuchu - Nobody (feat. Joeboy)

  40. 40

    Zuchu - Nyumba Ndogo

  41. 41

    Zuchu - Quarantine (feat. WCB Wasafi, Queen Darleen, Lava Lava, Mbosso, Rayvanny & Diamond Platnumz)

  42. 42

    Zuchu - Shangilia

  43. 43

    Zuchu - Shika

  44. 44

    Zuchu - Tanzania Ya Sasa

  45. 45

    Zuchu - Upendo (feat. Spice Diana)

  46. 46

    Zuchu - Utaniua

  47. 47

    Zuchu - Wana

  48. 48

    Zuchu - Zawadi (feat. Dadiposlim)

Naringa

Zuchu

Sing mmhh eehh
Let sing, comeon eeh

Sioni aibu, kwa kila linalonifika
Mana kukosea ni wajibu
Mola ameshaandika
Na sianguuki, mimi nimechaguliwa
Nnae mtegemea hachooki
Hajawahi kupitiwa
Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza
Vinanipa ujasiri
Nakua gado kamili
Ukitaka kunidhuru mie
Upite kwakwe kwanza
Mungu wangu halali
Ana ulinzi mkali

Na ndio mana naringa naringa naringa naringa naringa
Nalindwa na mungu
Msinione navimba navimba navimba navimba navimba
Nalindwa na mungu

Raise your glass
Cheers to the Lord

Roho mbaya ubinafsi hajaumbiwa nyungunyungu
Wala mtu mwenye maarifa
Kweli mabaya sikosi, najua mazuri yangu
Mtayasema nikifa aaeh
Unaniona napamdana, kwa tabu na dhoruba
Nilinde virogo vya walimwengu visinifike ng’o
Utadhani wao hawana, umewapa vikubwa
Ila bado hiki kidogo changu kinawatoa rohoo
He

Na sianguuuki mimi nimechaguliwa aahh
Nnae mtegemea hachooki
Hajawahi kupitiwa
Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza
Vinanipa ujasiri
Nakua gado kamili
Ukitaka kunidhuru mie
Upite kwakwe kwanza
Mungu wangu halali
Ana ulinzi mkali

Na ndio mana naringa naringa naringa naringa naringa
Nalindwa na mungu
Msinione navimba navimba navimba navimba navimba
Nalindwa na mungu

Playlists relacionadas Ver mais playlists

Momentos

O melhor de 3 artistas combinados