1. 1

    Zuchu - Kwikwi

  2. 2

    Zuchu - Sukari

  3. 3

    Zuchu - WaleWale (feat. Diamond Platnumz)

  4. 4

    Zuchu - Honey

  5. 5

    Zuchu - Litawachoma (feat. Diamond Platnumz)

  6. 6

    Zuchu - Love (feat. Adekunle Gold)

  7. 7

    Zuchu - Nani (feat. D Voice)

  8. 8

    Zuchu - Napambana

  9. 9

    Zuchu - Number One (feat. Rayvanny)

  10. 10

    Zuchu - Nyumba Ndogo

  11. 11

    Zuchu - Yalaaaa

  12. 12

    Zuchu - Cheche (feat. Diamond Platnumz)

  13. 13

    Zuchu - Mauzauza (feat. Khadija Kopa)

  14. 14

    Zuchu - Nimezama (feat. D Voice)

  15. 15

    Zuchu - Utaniua

  16. 16

    Zuchu - Wana

  17. 17

    Zuchu - Antenna

  18. 18

    Zuchu - Ashua (feat. Mbosso)

  19. 19

    Zuchu - Attention (feat. Whozu)

  20. 20

    Zuchu - BamBam (feat. D Voice)

  21. 21

    Zuchu - Chapati

  22. 22

    Zuchu - For Your Love (feat. Mbosso)

  23. 23

    Zuchu - Hakuna Kulala

  24. 24

    Zuchu - Hasara

  25. 25

    Zuchu - Hujanizidi (feat. D Voice)

  26. 26

    Zuchu - I Miss You (feat. Rayvanny)

  27. 27

    Zuchu - Jaro

  28. 28

    Zuchu - Kwaru

  29. 29

    Zuchu - Mtasubiri (feat. Diamond Platnumz)

  30. 30

    Zuchu - Nani

  31. 31

    Zuchu - Nani (remix) (feat. Innoss'B)

  32. 32

    Zuchu - Naringa

  33. 33

    Zuchu - Nisamehe

  34. 34

    Zuchu - Nobody (feat. Joeboy)

  35. 35

    Zuchu - Quarantine (feat. WCB Wasafi, Queen Darleen, Lava Lava, Mbosso, Rayvanny & Diamond Platnumz)

  36. 36

    Zuchu - Raha

  37. 37

    Zuchu - Shika

  38. 38

    Zuchu - Tanzania Ya Sasa

  39. 39

    Zuchu - Zawadi (feat. Dadiposlim)

Naringa

Zuchu

Sing mmhh eehh
Let sing, comeon eeh

Sioni aibu, kwa kila linalonifika
Mana kukosea ni wajibu
Mola ameshaandika
Na sianguuki, mimi nimechaguliwa
Nnae mtegemea hachooki
Hajawahi kupitiwa
Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza
Vinanipa ujasiri
Nakua gado kamili
Ukitaka kunidhuru mie
Upite kwakwe kwanza
Mungu wangu halali
Ana ulinzi mkali

Na ndio mana naringa naringa naringa naringa naringa
Nalindwa na mungu
Msinione navimba navimba navimba navimba navimba
Nalindwa na mungu

Raise your glass
Cheers to the Lord

Roho mbaya ubinafsi hajaumbiwa nyungunyungu
Wala mtu mwenye maarifa
Kweli mabaya sikosi, najua mazuri yangu
Mtayasema nikifa aaeh
Unaniona napamdana, kwa tabu na dhoruba
Nilinde virogo vya walimwengu visinifike ng’o
Utadhani wao hawana, umewapa vikubwa
Ila bado hiki kidogo changu kinawatoa rohoo
He

Na sianguuuki mimi nimechaguliwa aahh
Nnae mtegemea hachooki
Hajawahi kupitiwa
Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza
Vinanipa ujasiri
Nakua gado kamili
Ukitaka kunidhuru mie
Upite kwakwe kwanza
Mungu wangu halali
Ana ulinzi mkali

Na ndio mana naringa naringa naringa naringa naringa
Nalindwa na mungu
Msinione navimba navimba navimba navimba navimba
Nalindwa na mungu

Playlists relacionadas Ver mais playlists

Momentos

O melhor de 3 artistas combinados