1. 1

    Zuchu - WaleWale (feat. Diamond Platnumz)

  2. 2

    Zuchu - Sukari

  3. 3

    Zuchu - Kwikwi

  4. 4

    Zuchu - Utaniua

  5. 5

    Zuchu - Chapati

  6. 6

    Zuchu - Love (feat. Adekunle Gold)

  7. 7

    Zuchu - Antenna

  8. 8

    Zuchu - Nyumba Ndogo

  9. 9

    Zuchu - Cheche (feat. Diamond Platnumz)

  10. 10

    Zuchu - Hakuna Kulala

  11. 11

    Zuchu - Honey

  12. 12

    Zuchu - Kwaru

  13. 13

    Zuchu - Litawachoma (feat. Diamond Platnumz)

  14. 14

    Zuchu - Nisamehe

  15. 15

    Zuchu - Raha

  16. 16

    Zuchu - Zawadi (feat. Dadiposlim)

  17. 17

    Zuchu - Ashua (feat. Mbosso)

  18. 18

    Zuchu - Attention (feat. Whozu)

  19. 19

    Zuchu - BamBam (feat. D Voice)

  20. 20

    Zuchu - For Your Love (feat. Mbosso)

  21. 21

    Zuchu - Hasara

  22. 22

    Zuchu - I Miss You (feat. Rayvanny)

  23. 23

    Zuchu - Jaro

  24. 24

    Zuchu - Mauzauza (feat. Khadija Kopa)

  25. 25

    Zuchu - Mtasubiri (feat. Diamond Platnumz)

  26. 26

    Zuchu - Nani

  27. 27

    Zuchu - Nani (feat. D Voice)

  28. 28

    Zuchu - Nani (remix) (feat. Innoss'B)

  29. 29

    Zuchu - Napambana

  30. 30

    Zuchu - Naringa

  31. 31

    Zuchu - Nimezama (feat. D Voice)

  32. 32

    Zuchu - Nobody (feat. Joeboy)

  33. 33

    Zuchu - Number One (feat. Rayvanny)

  34. 34

    Zuchu - Quarantine (feat. WCB Wasafi, Queen Darleen, Lava Lava, Mbosso, Rayvanny & Diamond Platnumz)

  35. 35

    Zuchu - Shika

  36. 36

    Zuchu - Tanzania Ya Sasa

  37. 37

    Zuchu - Wana

  38. 38

    Zuchu - Yalaaaa

Naringa

Zuchu

Sing mmhh eehh
Let sing, comeon eeh

Sioni aibu, kwa kila linalonifika
Mana kukosea ni wajibu
Mola ameshaandika
Na sianguuki, mimi nimechaguliwa
Nnae mtegemea hachooki
Hajawahi kupitiwa
Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza
Vinanipa ujasiri
Nakua gado kamili
Ukitaka kunidhuru mie
Upite kwakwe kwanza
Mungu wangu halali
Ana ulinzi mkali

Na ndio mana naringa naringa naringa naringa naringa
Nalindwa na mungu
Msinione navimba navimba navimba navimba navimba
Nalindwa na mungu

Raise your glass
Cheers to the Lord

Roho mbaya ubinafsi hajaumbiwa nyungunyungu
Wala mtu mwenye maarifa
Kweli mabaya sikosi, najua mazuri yangu
Mtayasema nikifa aaeh
Unaniona napamdana, kwa tabu na dhoruba
Nilinde virogo vya walimwengu visinifike ng’o
Utadhani wao hawana, umewapa vikubwa
Ila bado hiki kidogo changu kinawatoa rohoo
He

Na sianguuuki mimi nimechaguliwa aahh
Nnae mtegemea hachooki
Hajawahi kupitiwa
Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza
Vinanipa ujasiri
Nakua gado kamili
Ukitaka kunidhuru mie
Upite kwakwe kwanza
Mungu wangu halali
Ana ulinzi mkali

Na ndio mana naringa naringa naringa naringa naringa
Nalindwa na mungu
Msinione navimba navimba navimba navimba navimba
Nalindwa na mungu

Playlists relacionadas Ver mais playlists

Momentos

O melhor de 3 artistas combinados