1. 1

    Zuchu - Sukari

  2. 2

    Zuchu - Honey

  3. 3

    Zuchu - Kwikwi

  4. 4

    Zuchu - WaleWale (feat. Diamond Platnumz)

  5. 5

    Zuchu - Chapati

  6. 6

    Zuchu - Antenna

  7. 7

    Zuchu - Cheche (feat. Diamond Platnumz)

  8. 8

    Zuchu - Inama

  9. 9

    Zuchu - Love (feat. Adekunle Gold)

  10. 10

    Zuchu - Mauzauza (feat. Khadija Kopa)

  11. 11

    Zuchu - Yalaaaa

  12. 12

    Zuchu - Attention (feat. Whozu)

  13. 13

    Zuchu - BamBam (feat. D Voice)

  14. 14

    Zuchu - I Miss You (feat. Rayvanny)

  15. 15

    Zuchu - Litawachoma (feat. Diamond Platnumz)

  16. 16

    Zuchu - Lollipop (feat. Yemi Alade)

  17. 17

    Zuchu - Nani (feat. D Voice)

  18. 18

    Zuchu - Naringa

  19. 19

    Zuchu - Number One (feat. Rayvanny)

  20. 20

    Zuchu - Raha

  21. 21

    Zuchu - Ashua (feat. Mbosso)

  22. 22

    Zuchu - Fire

  23. 23

    Zuchu - For Your Love (feat. Mbosso)

  24. 24

    Zuchu - Hakuna Kulala

  25. 25

    Zuchu - Hasara

  26. 26

    Zuchu - Hujanizidi (feat. D Voice)

  27. 27

    Zuchu - Jaro

  28. 28

    Zuchu - Kazi Iendelee

  29. 29

    Zuchu - Kitu

  30. 30

    Zuchu - Kwaru

  31. 31

    Zuchu - Mtasubiri (feat. Diamond Platnumz)

  32. 32

    Zuchu - Mwambieni

  33. 33

    Zuchu - Nani

  34. 34

    Zuchu - Nani (remix) (feat. Innoss'B)

  35. 35

    Zuchu - Napambana

  36. 36

    Zuchu - Nimezama (feat. D Voice)

  37. 37

    Zuchu - Nisamehe

  38. 38

    Zuchu - Nobody (feat. Joeboy)

  39. 39

    Zuchu - Nyumba Ndogo

  40. 40

    Zuchu - Quarantine (feat. WCB Wasafi, Queen Darleen, Lava Lava, Mbosso, Rayvanny & Diamond Platnumz)

  41. 41

    Zuchu - Sere (feat. Olakira)

  42. 42

    Zuchu - Shangilia

  43. 43

    Zuchu - Shika

  44. 44

    Zuchu - Tanzania Ya Sasa

  45. 45

    Zuchu - Upendo (feat. Spice Diana)

  46. 46

    Zuchu - Utaniua

  47. 47

    Zuchu - Wana

  48. 48

    Zuchu - Zawadi (feat. Dadiposlim)

Naringa

Zuchu

Sing mmhh eehh
Let sing, comeon eeh

Sioni aibu, kwa kila linalonifika
Mana kukosea ni wajibu
Mola ameshaandika
Na sianguuki, mimi nimechaguliwa
Nnae mtegemea hachooki
Hajawahi kupitiwa
Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza
Vinanipa ujasiri
Nakua gado kamili
Ukitaka kunidhuru mie
Upite kwakwe kwanza
Mungu wangu halali
Ana ulinzi mkali

Na ndio mana naringa naringa naringa naringa naringa
Nalindwa na mungu
Msinione navimba navimba navimba navimba navimba
Nalindwa na mungu

Raise your glass
Cheers to the Lord

Roho mbaya ubinafsi hajaumbiwa nyungunyungu
Wala mtu mwenye maarifa
Kweli mabaya sikosi, najua mazuri yangu
Mtayasema nikifa aaeh
Unaniona napamdana, kwa tabu na dhoruba
Nilinde virogo vya walimwengu visinifike ng’o
Utadhani wao hawana, umewapa vikubwa
Ila bado hiki kidogo changu kinawatoa rohoo
He

Na sianguuuki mimi nimechaguliwa aahh
Nnae mtegemea hachooki
Hajawahi kupitiwa
Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza
Vinanipa ujasiri
Nakua gado kamili
Ukitaka kunidhuru mie
Upite kwakwe kwanza
Mungu wangu halali
Ana ulinzi mkali

Na ndio mana naringa naringa naringa naringa naringa
Nalindwa na mungu
Msinione navimba navimba navimba navimba navimba
Nalindwa na mungu

Playlists relacionadas Ver mais playlists

Momentos

O melhor de 3 artistas combinados