1. 1

    Zuchu - Sukari

  2. 2

    Zuchu - Kwikwi

  3. 3

    Zuchu - WaleWale (feat. Diamond Platnumz)

  4. 4

    Zuchu - Honey

  5. 5

    Zuchu - Chapati

  6. 6

    Zuchu - Naringa

  7. 7

    Zuchu - Antenna

  8. 8

    Zuchu - Love (feat. Adekunle Gold)

  9. 9

    Zuchu - Nyumba Ndogo

  10. 10

    Zuchu - Zawadi (feat. Dadiposlim)

  11. 11

    Zuchu - Litawachoma (feat. Diamond Platnumz)

  12. 12

    Zuchu - Utaniua

  13. 13

    Zuchu - Attention (feat. Whozu)

  14. 14

    Zuchu - For Your Love (feat. Mbosso)

  15. 15

    Zuchu - Hujanizidi (feat. D Voice)

  16. 16

    Zuchu - I Miss You (feat. Rayvanny)

  17. 17

    Zuchu - Nani

  18. 18

    Zuchu - Nani (feat. D Voice)

  19. 19

    Zuchu - Nimezama (feat. D Voice)

  20. 20

    Zuchu - Nisamehe

  21. 21

    Zuchu - Number One (feat. Rayvanny)

  22. 22

    Zuchu - Raha

  23. 23

    Zuchu - Wana

  24. 24

    Zuchu - Ashua (feat. Mbosso)

  25. 25

    Zuchu - BamBam (feat. D Voice)

  26. 26

    Zuchu - Cheche (feat. Diamond Platnumz)

  27. 27

    Zuchu - Hakuna Kulala

  28. 28

    Zuchu - Hasara

  29. 29

    Zuchu - Jaro

  30. 30

    Zuchu - Kwaru

  31. 31

    Zuchu - Mauzauza (feat. Khadija Kopa)

  32. 32

    Zuchu - Mtasubiri (feat. Diamond Platnumz)

  33. 33

    Zuchu - Nani (remix) (feat. Innoss'B)

  34. 34

    Zuchu - Napambana

  35. 35

    Zuchu - Nobody (feat. Joeboy)

  36. 36

    Zuchu - Quarantine (feat. WCB Wasafi, Queen Darleen, Lava Lava, Mbosso, Rayvanny & Diamond Platnumz)

  37. 37

    Zuchu - Shika

  38. 38

    Zuchu - Tanzania Ya Sasa

  39. 39

    Zuchu - Yalaaaa

Naringa

Zuchu

Sing mmhh eehh
Let sing, comeon eeh

Sioni aibu, kwa kila linalonifika
Mana kukosea ni wajibu
Mola ameshaandika
Na sianguuki, mimi nimechaguliwa
Nnae mtegemea hachooki
Hajawahi kupitiwa
Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza
Vinanipa ujasiri
Nakua gado kamili
Ukitaka kunidhuru mie
Upite kwakwe kwanza
Mungu wangu halali
Ana ulinzi mkali

Na ndio mana naringa naringa naringa naringa naringa
Nalindwa na mungu
Msinione navimba navimba navimba navimba navimba
Nalindwa na mungu

Raise your glass
Cheers to the Lord

Roho mbaya ubinafsi hajaumbiwa nyungunyungu
Wala mtu mwenye maarifa
Kweli mabaya sikosi, najua mazuri yangu
Mtayasema nikifa aaeh
Unaniona napamdana, kwa tabu na dhoruba
Nilinde virogo vya walimwengu visinifike ng’o
Utadhani wao hawana, umewapa vikubwa
Ila bado hiki kidogo changu kinawatoa rohoo
He

Na sianguuuki mimi nimechaguliwa aahh
Nnae mtegemea hachooki
Hajawahi kupitiwa
Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza
Vinanipa ujasiri
Nakua gado kamili
Ukitaka kunidhuru mie
Upite kwakwe kwanza
Mungu wangu halali
Ana ulinzi mkali

Na ndio mana naringa naringa naringa naringa naringa
Nalindwa na mungu
Msinione navimba navimba navimba navimba navimba
Nalindwa na mungu

Playlists relacionadas Ver mais playlists

Momentos

O melhor de 3 artistas combinados