1. 1

    Zuchu - Sukari

  2. 2

    Zuchu - Kwikwi

  3. 3

    Zuchu - Utaniua

  4. 4

    Zuchu - Chapati

  5. 5

    Zuchu - Lollipop (feat. Yemi Alade)

  6. 6

    Zuchu - Love (feat. Adekunle Gold)

  7. 7

    Zuchu - Nani

  8. 8

    Zuchu - Nani (feat. D Voice)

  9. 9

    Zuchu - Number One (feat. Rayvanny)

  10. 10

    Zuchu - Antenna

  11. 11

    Zuchu - Hujanizidi (feat. D Voice)

  12. 12

    Zuchu - Nyumba Ndogo

  13. 13

    Zuchu - WaleWale (feat. Diamond Platnumz)

  14. 14

    Zuchu - Ashua (feat. Mbosso)

  15. 15

    Zuchu - Attention (feat. Whozu)

  16. 16

    Zuchu - Cheche (feat. Diamond Platnumz)

  17. 17

    Zuchu - Honey

  18. 18

    Zuchu - Inama

  19. 19

    Zuchu - Jaro

  20. 20

    Zuchu - Mtasubiri (feat. Diamond Platnumz)

  21. 21

    Zuchu - Nobody (feat. Joeboy)

  22. 22

    Zuchu - BamBam (feat. D Voice)

  23. 23

    Zuchu - Fire

  24. 24

    Zuchu - For Your Love (feat. Mbosso)

  25. 25

    Zuchu - Hakuna Kulala

  26. 26

    Zuchu - Hasara

  27. 27

    Zuchu - I Miss You (feat. Rayvanny)

  28. 28

    Zuchu - Kazi Iendelee

  29. 29

    Zuchu - Kitu

  30. 30

    Zuchu - Kwaru

  31. 31

    Zuchu - Litawachoma (feat. Diamond Platnumz)

  32. 32

    Zuchu - Mauzauza (feat. Khadija Kopa)

  33. 33

    Zuchu - Mwambieni

  34. 34

    Zuchu - Nani (remix) (feat. Innoss'B)

  35. 35

    Zuchu - Napambana

  36. 36

    Zuchu - Naringa

  37. 37

    Zuchu - Nimezama (feat. D Voice)

  38. 38

    Zuchu - Nisamehe

  39. 39

    Zuchu - Quarantine (feat. WCB Wasafi, Queen Darleen, Lava Lava, Mbosso, Rayvanny & Diamond Platnumz)

  40. 40

    Zuchu - Raha

  41. 41

    Zuchu - Sere (feat. Olakira)

  42. 42

    Zuchu - Shangilia

  43. 43

    Zuchu - Shika

  44. 44

    Zuchu - Tanzania Ya Sasa

  45. 45

    Zuchu - Upendo (feat. Spice Diana)

  46. 46

    Zuchu - Wana

  47. 47

    Zuchu - Yalaaaa

  48. 48

    Zuchu - Zawadi (feat. Dadiposlim)

Naringa

Zuchu

Sing mmhh eehh
Let sing, comeon eeh

Sioni aibu, kwa kila linalonifika
Mana kukosea ni wajibu
Mola ameshaandika
Na sianguuki, mimi nimechaguliwa
Nnae mtegemea hachooki
Hajawahi kupitiwa
Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza
Vinanipa ujasiri
Nakua gado kamili
Ukitaka kunidhuru mie
Upite kwakwe kwanza
Mungu wangu halali
Ana ulinzi mkali

Na ndio mana naringa naringa naringa naringa naringa
Nalindwa na mungu
Msinione navimba navimba navimba navimba navimba
Nalindwa na mungu

Raise your glass
Cheers to the Lord

Roho mbaya ubinafsi hajaumbiwa nyungunyungu
Wala mtu mwenye maarifa
Kweli mabaya sikosi, najua mazuri yangu
Mtayasema nikifa aaeh
Unaniona napamdana, kwa tabu na dhoruba
Nilinde virogo vya walimwengu visinifike ng’o
Utadhani wao hawana, umewapa vikubwa
Ila bado hiki kidogo changu kinawatoa rohoo
He

Na sianguuuki mimi nimechaguliwa aahh
Nnae mtegemea hachooki
Hajawahi kupitiwa
Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza
Vinanipa ujasiri
Nakua gado kamili
Ukitaka kunidhuru mie
Upite kwakwe kwanza
Mungu wangu halali
Ana ulinzi mkali

Na ndio mana naringa naringa naringa naringa naringa
Nalindwa na mungu
Msinione navimba navimba navimba navimba navimba
Nalindwa na mungu

Playlists relacionadas Ver mais playlists

Momentos

O melhor de 3 artistas combinados