1. 1

    Zuchu - Sukari

  2. 2

    Zuchu - Kwikwi

  3. 3

    Zuchu - WaleWale (feat. Diamond Platnumz)

  4. 4

    Zuchu - Naringa

  5. 5

    Zuchu - Love (feat. Adekunle Gold)

  6. 6

    Zuchu - Antenna

  7. 7

    Zuchu - Chapati

  8. 8

    Zuchu - Honey

  9. 9

    Zuchu - Nyumba Ndogo

  10. 10

    Zuchu - Zawadi (feat. Dadiposlim)

  11. 11

    Zuchu - Litawachoma (feat. Diamond Platnumz)

  12. 12

    Zuchu - Utaniua

  13. 13

    Zuchu - Attention (feat. Whozu)

  14. 14

    Zuchu - For Your Love (feat. Mbosso)

  15. 15

    Zuchu - Hujanizidi (feat. D Voice)

  16. 16

    Zuchu - I Miss You (feat. Rayvanny)

  17. 17

    Zuchu - Nani

  18. 18

    Zuchu - Nani (feat. D Voice)

  19. 19

    Zuchu - Nimezama (feat. D Voice)

  20. 20

    Zuchu - Nisamehe

  21. 21

    Zuchu - Number One (feat. Rayvanny)

  22. 22

    Zuchu - Raha

  23. 23

    Zuchu - Wana

  24. 24

    Zuchu - Ashua (feat. Mbosso)

  25. 25

    Zuchu - BamBam (feat. D Voice)

  26. 26

    Zuchu - Cheche (feat. Diamond Platnumz)

  27. 27

    Zuchu - Hakuna Kulala

  28. 28

    Zuchu - Hasara

  29. 29

    Zuchu - Jaro

  30. 30

    Zuchu - Kwaru

  31. 31

    Zuchu - Mauzauza (feat. Khadija Kopa)

  32. 32

    Zuchu - Mtasubiri (feat. Diamond Platnumz)

  33. 33

    Zuchu - Nani (remix) (feat. Innoss'B)

  34. 34

    Zuchu - Napambana

  35. 35

    Zuchu - Nobody (feat. Joeboy)

  36. 36

    Zuchu - Quarantine (feat. WCB Wasafi, Queen Darleen, Lava Lava, Mbosso, Rayvanny & Diamond Platnumz)

  37. 37

    Zuchu - Shika

  38. 38

    Zuchu - Tanzania Ya Sasa

  39. 39

    Zuchu - Yalaaaa

Utaniua

Zuchu

Eti-lah-lah-lah, lalalala, lala, lalaah
Lah-lah, lalalala, lala, lalaah

Nna hamu mwenzenu nna hamu kuyahadithia
Oh nna hamu tena nna hamu kuyasimulia
Utani kama utani tulianza kimasiara
Sikudhani sikudhani yatafikia mahala
Akiwa hapatikani hapaliki sijalala
Kanifanya kitu gani? Mbona imekua mara?
Dua la kuku menipata mwewe wallah nyinyi ni mtihani
Hata makosa ayafanye yeye mimi ndo naomba samahani

Ona anacheka kama mazuri
Anajua kabisa amenteka kwake sina shughuli
Eti kumwacha naanzaje sa kusepa natoa wapi jeuri
Na kwenye koma kaeka nukta kanitia na kufuli

Oh, baby mimi hapa taabani (wewe utaniuwa niuwa)
Nimeoza dah yarabi sihemii (wewe utaniuwa niuwa)
Ah, izo raha zakoo (wewe utaniuwa niuwa)
Roho yangu mali yako (wewe utaniuwa niuwa)

Tukikosa stuli ni sunna kula kwenye mkeka
Unijue vizuri nikinuna mie ndo nadeka
Husijedhani kiburi uniache nikaja kuchekwa
Baby raha ya shughuli mkunwa awe na heka heka
Oh husichokipenda wewe chunga na mimi husinifanyie
Mgomba wangu mwenyewe eti ndizi nigombanie
Nipe penzi nilewe umenizimiaa
Ooh ringa kwangu upo mwenyewe kiboko yangu miee, oh vimbaa

Ona anacheka kama mazuri
Si anajua kabisa amenteka kwake sina shughuli
Eti kumwacha naanzaje sa kusepa natoa wapi jeuri
Na kwenye koma kaweka nukta kanitia na kufuriii

Oh, baby mwenzako mimi twabani (wewe utaniuwa niuwa)
Chagua mwenyewe unizike unishafirishe (wewe utaniuwa niuwa)
Ah, izo raha zakoo (wewe utaniuwa niuwa)
Roho yangu mali yako oh (wewe utaniuwa niuwa)

Playlists relacionadas Ver mais playlists

Momentos

O melhor de 3 artistas combinados